Thursday, 10 September 2015

danny-glover
Staa kutoka Marekani, Danny Glover katua Nigeria kwa kazi moja tu !! kama wewe ni mpenda movie kali kutoka Hollywood Marekani, jina la staa huyo sio geni…. kwenye list ya movie kali ziko na hizi hapa mtu wangu >>> ‘Legendary’ (2010- ndani yumo na John Cena pia), pamoja na movie ya ‘Rage’ ambayo amefanya na staa mwingine Nicolaus Cage (ilitoka mwaka 2014).
Taarifa ni kwamba mwigizaji  Danny Glover tayari katua Nigeria usiku wa September 08 2015 kwa ajili ya kuandaa  Movie ambayo itakuwa inahusu masuala ya Ebola, jina lake itaitwa ’93 DAYS’ ambayo ndani yake kutakuwa na story inayowahusu watu waliojitolea kupambana na Ebola.
tim-reid-close-up
Tim Reid
Kwenye list ya Mastaa watakaoigiza Movie hiyo yupo pia Tim Reid kutoka Hollywood Marekani pamoja na mastaa wengine kutoka Nigeria na Africa.
Categories:

0 comments:

Post a Comment