Saturday, 14 November 2015





Maafisa wa Bunge wakipokea nyaraka toka kwa wabunge wateule katika zoezi lililoanza leo Mjini Dodoma 
Wabunge wateule wakipiga picha kwa ajili ya vitambulisho vitakavyotumika kwa ajili ya matumizi ya Bunge Leo Mjini Dodoma 
Mbunge wa Jimbo la Mwanga Mkoani Kilimanjaro Mh. Jumanne Maghembe akikabidhi nyaraka zake wakati wa zoezi la usajili linaloendelea leo Mjini Dodoma. 
Mbunge wa Jimbo la Sengerema Willium Ngeleja akisajili kwa Afisa wa bunge 
Maafisa wa benki wakiwapa maelezo wabunge wakati wa zoezi la usajili linaloendelea Mjini Dodoma 
Maafisa wa Bunge wakimkabidhi nyaraka Moja ya Mbunge wakati wa Zoezi la Usajili leo Mjini Dodoma

Mauaji katika mghahawa wa Rue Bichat, Paris

Gari la huduma ya kwanza.

Mmoja wa Muhanga aliyenusurika katika tukio hilo.

Miili ya watu waliopoteza maisha kufatia tukio hilo.

Friday, 13 November 2015