Tuesday, 17 November 2015

http://www.crwflags.com/fotw/images/t/tz-parl.gif 
Katibu wa Bunge Mh Dkt Thomasi Kashilila Amemtangaza Mh Job ndugai  kuwa Spika wa Bunge la 11 baada ya Kujinyakulia Kura 254 sawa na 70% ya Kura zote zilizopigwa.MhNdugai amewashinda Wagombea wengine kutoka vyama na makundi Mbalimbali
Categories:

0 comments:

Post a Comment