Rais John Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa na mkewe Mary Majaliwa baada ya kumwapisha Waziri Mkuu kwenye ikulu ndogo ya Chamwinomjini Dodoma Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Majaliwa kassim Majaliwa akipongezwa na Mbunge wa Isimani, William Lukuvi baada ya kuapishwa kwenye ikulu ya Chamwino mjini Dodoma Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa akipongezwa na Mbunge wa Buchosa, Dkt.Charles Tizeba baada ya Waziri Mkuu, Majaliwa kassim Majaliwa kuapishwa kwenye ikulu ya Chamwino Dodoma Novemba 20, 2015. (picha na Ofisi ya Maziri Mkuu)
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa akipongezwa na Mbunge wa Buchosa, Dkt.Charles Tizeba baada ya Waziri Mkuu, Majaliwa kassim Majaliwa kuapishwa kwenye ikulu ya Chamwino Dodoma Novemba 20, 2015. (picha na Ofisi ya Maziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Majaliwa kassim Majaliwa akipongezwa na Mbunge wa Kyela, Dkt. Harrison Mwakyembe baada ya kuapishwa kwenye ikulu ya Chamwino mjini Dodoma Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akipongezwa na Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za kuapishwa kwake kwenye ikulu ndogo ya Cahamwino jijini Dar es salaam Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majliwa akipongezwa na Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Lindi, Sheikh Mtopa baada ya kuapishwa kwenye ikulu ndogo ya Chamwino jijini Dar es salaam Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akipongezwa na Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za kuapishwa kwake kwenye ikulu ndogo ya Cahamwino jijini Dar es salaam Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akipongezwa na Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za kuapishwa kwake kwenye ikulu ndogo ya Cahamwino jijini Dar es salaam Novemba 20, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment