Monday, 11 January 2016

Serikali ya Myanmar inafanya majadiliano na makundi kadhaa ya kikabila nchi humo ili kupata mwafaka.
Kikao hicho cha siku 5 kinafuatia kutiwa saini hapo October kwa makubaliano ya kusitisha mapigano baina ya serikali na makundi 8 ya wapiganaji.
Categories:

0 comments:

Post a Comment