Posted by Unknown on 04:44:00
with No comments so far
Mgomea Mwenza wa Uraus kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wake wa kampeni aliofanya leo katika Kata ya Buza, jimbo la jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakimshangilia Mama samia kwenye mkutano huo
0 comments:
Post a Comment